aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Saturday, April 12, 2014

WEZI WALIVYO FANYWA SINZA KUMEKUCHA:PICHA MBAYA SANA,......MUNGU TUSAIDIE

 
Wezi wakiwa chini wakila kichapo cha kimya kimya toka kwa wananchi. 

Mwizi akijitetea kuwa ni mpita njia jamani mimi ni mpita njia ‘’’’ tulia wewe tumewachoka alisikika sauti ya kike . 

Dada kwa na huruma 
 

Pichani ni mmoja ya wezi akionesha kitu flani eneo la tukio leo sinza kume kucha. 
Jamaa waliwapa mapumziko kidogo wezi hao. 

Polisi wakiwachukua wezi hao baada ya kula kichapo na mateso kwa masaa mawili 

  
 
  

Wananchi wakipeana umbea kwa walio kuwepo na wasio kuwepo kila mtu anasema lake

 
Tukio hili limetokea leo majira ya saa kumi na mmoja asubui maeneo ya sinza kumekucha maarufu kwa jina la DR cool production. Wezi hao walitaka kubomoa duka bila mafanikio ndibo walipo kamamatwa na kujitaidi kukimbia uku wakijikuta wamesha kamatwa kutikana wingi wa watu walio kuwa wakiwai makazini mda huo kutokana kuwai usafiri , hadi tunatoka eneo la tukio wezi hao walipelekwa kituo cha polosi huku wakiwa wazima japo wamechapika mbaya

No comments:

Post a Comment