aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Thursday, April 10, 2014

"NASHINDWA KULALA BILA KUFANYA NGONO" ..KAULI YA LULU WA BONGO MOVIE, BAHATI YAKO SASA MTOTO WA KIUME, SOMA ZAIDI HAPA

Mcheza sinema za bongo Movie Elizabeth Michael 'LULU' amekiri kuteswa na jini mahaba ndiyo maana amekuwa akishinda kujizuia kulala bila kufanya ngono hali ambayo anatamani kuiacha lakini anashindwa.

Akizungumza na tovuti yetu ya paparazi, Lulu alisema kwamba mara nyingi amekuwa akiota anafanya ngono na wanaume asiowafahamu na akiamka asubuhi huwa anajiskia mchovu na hali hiyo imechangia kuwa na mvutio zaidi kwa wanaume mbalimbali na wengi wao hujikuta ana 'do' nao.

 "Hakuna anayeweza kukubali kufanya ngono kama kuku, mara nyingi nimekuwa nikiota ninafanya mapenzi na wanaume nisio wajua na baada ya kuuliza nikaambiwa ni jini mahaba na hili limekuwa likinitesa na limepelekea niwe na mvuto wa kupendwa zaidi na wanaume ambao  baadhi yao huwa nashindwa kujizuia kuwapa uroda" alisema LULU 
source:paparazzi

No comments:

Post a Comment