The main purpose of this Blog is to share my knowledge with the world..You Are Warmly Welcomed
Contacts:husseinngenje@yahoo.com
+79264327067
Ads 468x60px
Tuesday, April 8, 2014
INASIKITISHA:ANGALIA PICHA AKUTWA AMEUAWA ENEO LA AFRICANA-MBEZI JIJINI DAR
Mwili wa Erick 'Ras Kiduku' kama ulivyokutwa eneo la tukio.
Ufunguo wa Bajaj aliyokuwa akiendesha marehemu Ras Kiduku.
MWILI wa kijana ambaye ni dereva wa Bajaj aliyejulikana kwa jina la Erick maarufu kwa jina la Ras Kiduku umekutwa ukiwa umetupwa eneo la Kilongawima, Africana-Mbezi jijini Dar es Salaam.
Pembeni ya mwili huo, ulikutwa ufunguo wa Bajaj yake ambayo ilikutwa imetelekezwa barabarani jirani na mwili wa marehemu ulipokutwa.
No comments:
Post a Comment