aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Saturday, April 12, 2014

OBAMA AMUOKOA MKE WAKE ASIKAE UCHI LEO WAKATI WAKIPANDA NDEGE ,MARA BAADA YA UPEPO KUPULIZA SKERT YA MKEWE,TIZAMA MAPICHA HAPA

Windy day: It was even blustery when the couple landed in Austin, Texas where they are scheduled to visit the LBJ Presidential Library and attend commemoration ceremonies for the 50th anniversary of the Civil Rights ActHii imetokea leo Ijumaa 11/4/2014 huko Austin, Texas ambapo Raisi Obama pamoja na Mke wake Michelle walikua na ziara ya Kumtembelea maktaba ya Raisi na pia kusherekea sherehe za miaka 50 ya Haki, Wakiwa ndo wanapanda ndege kuondoka Austin baada ya Ziara hio, Obama na Mke wake walikua wanapanda ndege pamoja ndipo upepo mkali ulipokuja na kufunua sketi ya Mke wa Obama, Michelle Obama ila raisi huyo wa Marekani, Obama aliweza kumstili mke wake kwa kuishika sketi ili upepo usimuaibishe mke wake huyo...  

Swala hili limetokea mara nyingi kwa watu maarufu, Mtu maarufu ambae hukutwa na mkasa huu sana ni Kate Middleton ambae ni mke wa mwana-mfalme wa Uingereza, George alipatwa na mkasa huu mwaka 2011,
hapo juzi mke wa mwana-mfalme George wa Uingereza alipatwa na mkasa huo wakati akiwa anashuka kwenye ndege walipiokua na ziara nchini New-Zealand (Kwa picha za Kate Middleton shuka chini)

Close call: Barack Obama saved wife Michelle from an embarrassing situation while the two boarded Air Force One today

Blustery: The First Couple were even fighting the wind as they walked across the tarmac at Austin-Bergstrom International Airport

Michelle ObamaMichelle Obama
Similar habit: Kate Middleton experienced a hem-blowing fiasco in New Zealand earlier this week while arriving in the country for Prince George's first official tour
Kate Middleton mwaka 2014 huko New Zealand

Marilyn moment: Unfortunately no one was around to help Kate Middleton in 2011 when her own skirt blew up on the tarmac
Kate Middleton mwaka 2011

No comments:

Post a Comment