aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Saturday, April 5, 2014

MGOMBEA UBUNGE CHALINZE, RAMADHANI MGAYA AKATWA MAPANGA USIKU WA KUAMKIA TAREHE 4 APRIL 2014 KATIKA GUEST MAARUFU INAYOTOA HUDUMA BORA KULIKO GUEST ZOTE CHALINZE..SABABU IKIELEZWA NI UBORA WA GUEST


Mgombea  Ubunge katika Jimbo la Chalinze, wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, Ramadhani Mgaya (pichani juu) kupitia chama cha AFP amejeruhiwa kwa mapanga.
 


Mgaya amesema amejeruhiwa na mtu mmoja akiwa na panga inasemekana kuwa huyo jamaa aliyemkata mapanga mgombea huyo wa AFP alikuwa katika eneo hilo kabla ya tukio maana naye alikuwa amepanga hapo ambapo chadema walikuwa wamepanga GESTI HIYO NZIMA KUTOKANA NA HUDUMA NZURI ZINAZOTOLEWA NA GUEST HIYO KWA UPANDE WA MALAZI NA VINYWAJI KULIKO GUEST ZOTE HAPO CHALINZE na wakiwa wamefikisha siku kumi tangu walale hapo ndipo majira ya saa sita  za usiku wa kuamkia tarehe 4 mgombea wa AFP alipoamua kulala hapa na kusababisha kutokuelewana na jamaa huyo na kuanza vaarangati hilo wakati wakiwania chumba katika nyumba ya kufikia wageni ya GOODTIME Chalinze iliyopo barabara ya Morogoro mita chache kutoka njia panda(makutano ya barabara ya moshi,dar na moro).
 
"Nimevamiwa na kujeruhiwa na mtu akiwa na panga aliyekuwa anataka kulala humu na kutoweka kusikojulikana ila ahsante uongozi wa Chadema kwa kunisaidia," alisema Mgaya.
 
Mgaya amesema ameumia mikononi wakati akipangua nakujitetea maana mvamizi alikuwa na panga.
 

Mbali na yeye pia amesema kiongozi wa Chadema, Mwita Waitara naye alijeruhiwa wakati wa purukushani za kumsaidia mgombea huyo wa chama cha AFP.

No comments:

Post a Comment