aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Friday, April 25, 2014

MWANAUME FAHAMU HAYA MAMBO 12 NYETI SANA ANAYOHITAJI MPENZI WAKO UYAGUSE

HII MADA INAWAHUSU SANA MWANAUME KAMA MPENZIO HAYAJUI HAYA MUELEZE AKUFANYIE USISIKIE TU)

Tendo la ndoa au ngono ndilo tendo la furaha lililo kuu kwa binadamu .wakati tendo hilo wa wanyama lipo kwa ajili ya kuzaa, kwa upande wa binadamu ni zaidi ya kuzaa. Mapenzi au tendo la ndoa ni sanaa hivyo inatakiwa ufundi na ubunifu ili kuweza kufurahia tendo hilo.yafuatayo ni ni maeneo 12 yenye msisimko na kama mwanaume atayashughulikia ipasavyo bila shala mtafurahia uumbaji wake MUNGU.

1. MIDOMO YAKE
Tumia midomo yako, ulimi wako na meno yako kuchezea mdomo wake wa juu na wa chini na umbusu kwa msisimko mkubwa. Kunyonya ulimi pia huchangia kuongeza kasi ya mwanamke kwenda kileleni (usafi wa kinywa kwa wote wawili ni muhimu kwa kweli)

2. UKE NA KINEMBE
Tumia kidole chako cha kwanza cha mkono wa kulia polepole pitisha katika mfereji wa uke ukianzia chini (kutokea kwenye ****** ) ukipandisha juu,fanya hivyo mara kadhaa kutegemea umbo lako na urefu,unaweza kuchanganya zoezi hili na kunyonya matiti yake na hapo utaona upumuaji wake ukibadilika na maji maji yakiongezeka kwenye uke . kwa kawaida kinembe cha mwanamke kimejificha lakini ukifanya vizuri zoezi la hapo juu na chenyewe kama uume kitajaa damu na kuinuka. Kinembe kipo juu kabisa ya mfereji wa uke na kina ukubwa wa harage au kwa wanawake wengine huwa kidogo zaidi . tumia kidole chako cha kwanza na taratibe zungusha kidole juu ya kinembe , pandisha na kushusha kidole chako hapo unaweza kumfikisha kwenye kilele cha utamu wa mapenzi hata kabla hujaingiza uume .Wanawake wengi watafurahia ukitukia uume wako uliosimama vzr kupigapiga eneo la kinembe nah ii huufanya uume kuwa wa moto na unapomuingilia joto la uume wako litafanya raha ya tendo hili kuwa kubwa zaidi.

Kinembe ndio sehemu ambayo kwa asilimia 80 huhusika na kazi ya kumfikisha mwanamke kileleni na kwa kuwa kinembe kiko mbali kidogo toka kwenye tundu la uke sio rahisi kwa uume kufikia kinembe hivyo mwanaume anatakiwa ajisukume kwa makusudi kabisa kwenda mbele ili shina la uume liguse kinembe wakati wa kuingia na kutoka kwa uume.

3. MATITI YAKE
Matiti yake ni sehemu muhimu sana kwa mwanamke kama ilivyo kwa uke wake.Utamatia raha kamili mwanamke kama utayapapasa papasa matiti yake,utayaminyaminya kwa upole wa kimahaba utayalambalamba na kuyanyonya.

4. MASIKIO YAKE
Wanawake wengi hupata burudani masikioni yao yanapolambwa au kunyonywa au kupigwa busu.

5. SEHEMU YA SHINGO YA NYUMA
Tumia ulimi wako kulamba sehemu ya shingo yake kwa mwendo wa kutekenya tumia ncha ya ulimi kutekenya tekenya kwa kufanya mduara na kuendelea kuchora mduara na kurudiarudia.

6. SEHEMU YA NYUMA YA GOTI
Sehemu ya nyuma ya goti ina miishio mingi ya mishipa ya fahamu na utashangaa jinsi ammbavyo mwanamke atapata raha kwa kuishughulikia sehemu hii.

7. SEHEMU YA NDANI YA MAPAJA
Tumia ubapa wa kiganja chake kupapasa kwa ulaini wa sehemu ya ndani ya mapaja yake fanya hivyo juu juu huku ukimbusu mapaja yake.

8. MATAKO YAKE
Wanawake wengi wanapenda matako yao yachezewe kimahaba kwa kuyaapasa ,endelea kwa kuminya kwa kutumia vidole.

9. MIISHO YAKE
Miguu yake imejaaa miisho ya mishipa ya fahamu kiasi ambacho baadhi ya wanawake wanaweza kufika katika kilele cha burudani ya tendo la ndoa kwa miguu yao kusuguliwa na kupapaswa.

10. USO WAKE
Mwanamke atafurahi sana atakashika uso wake katika hali ya mahaba na huku ukitabasamu .wakati ukifanya hivyo unaweza kumbusu midomo yake mashavu na kwenye paji la uso.

11. HIPS ZAKE
Sehemu hii ni moja ya sehemu ambazo zitamfanya mwanamke ajisikie amekubnalika kabisa iwapo utashika wakai wa tendo la ndoa.

12. G SPORT
Sehemu hii iko ndani ya uke ambayo inapata hisia kubwa sana ikibonyezwa bonyezwa,sehemu hii ipo sentimita 5 kutoka mlango wa uke na iko katika ukuta wa juu wa uke.sehemu hii ikibonyezwa na kuchezewa ipasavyo mwanamke anaweza akapiz mara mbili au zaidi kwa wakati mmoja . hii ni njia rahisi ya kumfikisha mwanamke kileleni, mwanaume aingize kidole kwenye uke na kubonyeza na kusugua sehemu ya juu ya uke.sehemu hii imekaa kama sponji na huwa ngumu kwa kadiri inavyobonyezwa.mwanamke anaweza kujisikia kama anataka kukojoa kabisa na hawezi kukojoa ila raha atakayoipata ni kubwa sana.

No comments:

Post a Comment