aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Tuesday, April 8, 2014

ANGALIA KITU AY ALICHOWAHI KUMFANYIA MREMBO HUYU….!!!

vivian kenyaUnaweza kum-judge mtu kwa kumuangalia tu,kuwa anaweza kuwa mpole namwenye aibu,au vyovyote vile utakavyoweza kufikiri kwa haraka.Tofauti na wengi wanavyodhani, hili ni moja ya tukio ambalo linaloweza kukuonyesha sehemu ya pili ya upande wa Mwanamuziki huyu maarufu kutoka Tanzania.
Huyu ni mrembo mwanamuziki kutoka nchini Kenya,aliyewahi kujulikana kupitia nyimbo yake maarufu iliyoitwa Mydream aliyomshirikisha msanii maarufu wa Kenya,Jaquar, na kutokea kukubalika na watu kwa mara ya kwanza kutokana na kipaji chake cha kipekee cha uimbaji,anajulikana kama Vivian, kutoka kundi la mainswitch la nchini Kenya.Hii ilikuwa siku ya Birthday yake,anasema alichofanyiwa na AY pamoja na wasanii wenzake wengine hatakuja kusahau katika maisha yake,angalia tukio lenyewe hapa..
>>Vibe magazine

No comments:

Post a Comment