aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Tuesday, April 8, 2014

SHOO YA MCHEZA UCHI KWA WAFUNGWA YAZUA ZOGO LA HATARIII JIONEE HAPA MWENYEWE NI SHIDAAA!!

Kasheshe limezuka baada ya mwanamke mcheza dansi uchi kuwachezea uchi wafungwa 300 katika jela moja nchini Hispania na sasa umoja wa walinzi wa jela hiyo unasema hali itakuwa mbaya zaidi kutokana na shoo hiyo.
VAN VICKER(Picha hii haihusiani na story hii)
Mwanamke huyo akicheza uchi na kujimwagia maziwa mwili mzima aliwaruhusu wafungwa hao kuuchezea mwili wake.
Gavana wa jela hiyo ametakiwa kujiuzulu baada ya kuruhusu mcheza uchi huyo kuwachezea uchi wafungwa wapatao 300.
Umoja wa walinzi wa magereza nchini Hispania umekiri kwamba mcheza uchi huyo alifanya shoo yake mbele ya wafungwa hao na wakuu wa magereza hawakuzuia kitendo hicho.
Umoja huo ulisema mwanamke huyo alivua nguo zake zote na kufanya vituko hivyo katika jela ya Picassent mashariki mwa Valencia.
Kamati ya nidhamu ya jela ya Hispania ilikiita kitendo hicho"Shoo ya muziki isiyofaa" na kuongeza kuwa uchunguzi wa tukio hilo unafanyika kujua aliyeidhinisha shoo hiyo.
Inasemekana msaidizi wa mkuu wa jela hiyo ambaye ni mwanamke alihudhuria shoo hiyo na hakuisimamisha huku baadhi ya walinzi wa kike wakiiacha shoo hiyo baada ya kukereka.
Wafungwa waliofungwa kwa makosa ya kubaka na mengineyo walihudhuria shoo hiyo.
Umoja wa walinzi wa magereza ulisema "Tunahofia shoo hii ya dakika 10 inaweza ikasababisha hali kuwa mbaya zaidi ndani ya gereza".

No comments:

Post a Comment