aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Monday, March 24, 2014

TEAMUKWELI NA UWAZI WAJA NA MAZITO JUU YA DIAMOND,PENNY,MAWIFI,WEMA NA MAMA DIAMOND...SOMA ZAID HAPA

clip_image002teamukwelinauwazi Watu wengine washamba sana ulisikia wapi watu wakiachana ndio hawaongei na watu wengine ...
Hizo ni habari Za kizamani sana tena sana !! Hawa watu wameishi vizuri hawana matatizo na wanaelewana sasa kama dangote kaachana na penny ndio penny asiongee na esma, halima kimwana, Queen darlin na Mama yao ??
Kwani wao waligombana nao nyie vipi kupendwa na ndugu wa mume hua ni bahati ni wachache wenye hizo bahati.. Na Pia hatujui nini kinaendelea hapo jamani sisi yetu ni macho kutazama movie ikiendelea !! Mengi yapo nyuma Ya pazia ...
Ni vitu vinaendelea hii sio movie Bali ni series ... Hawa watu au hii group yao haiongei wala kujibu kitu ni watu wanaojua wanafanya nini Halima ni rafiki mkubwa sana wa dangote kushinda hata esma dada wa dangote arafu ni kipenzi cha penniel huyo esma dada wa dangote ndio nr one kipenzi wa penny huyo Queen darlin ndio best wa penny
Mama yake Naseeb ndio usiseme harafu sasa wale madansa na wapiga picha hadi madirector ni wapo na penny nikutonye tu esma anaishi na penny ile Nyumba ni dangote kailipia Sisi tunasubiri next season Ya hiyo series..
Kwani unafikiri nini si nini tu huyo wema mbona hapelekwi huko kwenye hizo shughul basi kama sio mapenzi Ya biashara ni nini ??!
Tunajua dangote yupo njiani kuachia nyimbo yake Mpya na tunaisubiri wema aendelee kupeperusha kibendera maana ndio msukule wa dangote hapo alipo ni zezeta...
CREDIT TO TEAMUKWELINAUWAZI INSTAGRAM

No comments:

Post a Comment