aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Saturday, March 15, 2014

CHEKI PICHA JINSI UTUMISHI BASH ILIVYOFANA NDANI YA MAKONDE BEACH CLUB HAPO JANA

DSC_0130Wanachuo wa Chuo cha Utumishi Mtwara Ndani ya Makonde Beach Club Katika Usiku wa Bash la Kuwakarabisha wanachuo wa Mwaka wa Kwanza wakijiachia na Kamera ya Fahari ya Kusini BlogDSC_0189
DSC_0113Wadau wa Safari Radio Fm Mtwara wakiwa ndani ya Kiunga hicho wakifanya yao katika Usiku wa Bash la Wanachuo wa Chuo cha Utumishi Mjini Mtwara lililofanyika Usiku wa Kuamkia Leo Pale Makonde Beach ClubDSC_0118Muite G Mbongo The Entertainment akiwa na Kimwana Ndani ya Makonde Beach Club katika Bash la Kuwakaribisha wanachuo wa Mwaka wa Kwanza wa chuo cha Utumishi MtwaraDSC_0119Mc wa Sherehe hiyo akifanya yake katika kusherehesha Bush Hilo lililofanyika hapo Jana Makonde Beach ClubDSC_0128The president wa Utumishi (kulia) akiwa na Vice President katika Ufunguzi wa shughuli nzima la Bash Hilo la kuwakarabisha Wachuo wa Mwaka wa Kwanza lililofanyika hapo jana Makonde Beach Club.DSC_0131Waziri wa Michezo akifanya yake usiku huo pale Makonde Beach Club kiukweli palikuwa Hapatoshi….DSC_0145Wasanii wengi wa kutoka Chuoni hapo walipanda jukwaani na Baadae kuangushwa Bonge la Disko la Kufa Mtu hadi Majogooo. Hizi ni Baadhi ya Picha zilizoweza kunaswa na Mwandishi wetu aliehudhuria katika Kiunga hicho hapo JanaDSC_0132
DSC_0150
DSC_0151
DSC_0160
DSC_0162
DSC_0167
DSC_0177
DSC_0179
DSC_0182
DSC_0183
DSC_0187
DSC_0191

No comments:

Post a Comment