Jamani Wadada Tuweni Makini na Mavazi hasa tunapoenda sehemu zenye mkusanyiko wa watu mbali mbali..Kwani linaweza kukukuta balaa usiloweza hata kufikiria limetokea wapi na likakufedhehesha ukabaki unajililia mwenyewe.Sio Vizuri kuvaa mavazi mafupi yenye kuonesha viungo adimu katika mwiliwako hebu ona kama kilichomtokea Huyu Dada baada ya kuvaa kimini na kukatiza mitaaa bila woga ....Ona kundi ka wanaume wenye walivyokuwa wakimzonga. je unafikiri mdada huyo alikuwa na amani hata kidogo baada ya Tukio hilo?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment