aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Sunday, March 23, 2014

MAHABA:: JE WAJUA KWA NINI WANAWAKE WENGI AWAPENDI KUTUMIA CONDOM

clip_image001Heshima kwenu brothers and sisters,,
Safari yangu ya Angaza inavyozidi kukaribia some Bad memories zinarudi kichwani zinazoninyima raha sana na sana...
Zaidi ya mara kadhaa ya relation ship nimegundua Wanawake ndo watu wa kwanza kupinga matumizi ya mpira baada ya muda fulani wa Relationship kwa kisingizio cha kuwaumiza..
Na mara nyingi Mwanaume asipo push matumizi ya condom Msichana hawezi kupush yeye,,, Wanapenda sana kuaminiana kirahisi rahisi na kikubwa wanachojali ni Mimba tu so wakiona wapo kwenye safe days wanaona wapo Safe kwa kila kitu..
Mwanzo nilijua ni baadhi tu but katika stories na jamaa zangu wengi wamekutana na hicho kitu na kila mmoja anaeleza kuwa her Girlfriend hapendi Condom kisa Zinawaumiza...
Na hii ipo sehem nyingi sana na sana..
Hii hali inatisha kama Ukweli Ukimwi utaisha kwa situation kama hizi...Ndio maana kuna Mdau mmoja anapenda kusema Kupata HIV ni sign of Unlucky to you as people are not descent as they pretend to be when it comes to Sex/love making issues although they are negative...

Wadada naomba Mtupe majibu ya ukweli na uwazi

No comments:

Post a Comment