aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Saturday, March 29, 2014

AIBU: DENTI WA KIKE MWANACHUO AVULIWA NGUO HOSTEL BAADA YA KUIBA SIMU AINA YA BLACKBERRY

Tamaa zinazidi kuwaponza dada zetu siku hizi, binti mmoja huko nigeria amejikuta matatani baada ya vidume kumsaula nguo zote baada ya kuiba simu ya mwenzake wanaelala nae chumba kimoja,

   mkasa ulianza pale binti alipotafuta simu yake kwa mda wa masaa matatu bila mafanikio ndipo alipowaita wenzake nakuanza kupekua, atimaye wakapata wazo la kuipiga simu hyo ambayo iliita mfukoni mwa mwizi huyo. alipoambiwa apokee mwizi huyo aliruka mita mia mbili ndipo mzozo ulipozidi majirani wakaingia na kuamua kumvua nguo zote na kumuacha mtupu wa mnyama na ndipo simu ilikutwa kwenye nguo ya ndani ya binti huyo.....hii nifundisho kwa wale kina dada wapenda vya bure na tamaa za hapa na pale

No comments:

Post a Comment