aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Friday, May 30, 2014

NGUO ZINAZOFAA KUVALIWA CHUMBANI UKIWA NA MPENZI WAKO


mumewe hata kama amechoka au ana 
hasira kwa siku hiyo...Ndugu yangu uchawi 
rahisi kwa mumeo ni kumvalia nguo 
nyepesi na yenye kuonyesha maumbile 
yako kamili,hii inaweza kuwa gauni nyepesi 
inayoonyesha maumbile yako ama siku hizi 
kuna mitandio milaini ambayo pia unaweza 
kuivaa pindi unapokuwa na mwenzi 
wako,ikumbukwe pia wanaume wengi 
hupatwa na tatizo la ukosefu wa nguvu za 
kiume kwa kukosa hisia za kufanya tendo 
hilo lakini wanawake ni dawa nzuri ya 
tatizo hilo ikiwa ataweza kumuhamasisha 
mumewe kwa njia mbalimbali ikiwemo ya 
vazi ambalo litamfanya mzee asisimke.. 
Mapenzi ni hisia,na hisia hizo huwa kwa 
wote yaani kwa wanaume pamoja na 
wanawake,baadhi ya walio kwenye 
uhusiano huwalalamikia sana wenzi wao 
na sababu kuu huwa ni kutokuwa na hamu 
ya kufanya nao tendo la ndoa.Hapa 
nitazungumzia mavazi yanayopaswa 
kuvaliwa chumbani hasa mnapokuwa 
wawili tu yaani mke na mume.. 
Mwanaume siku zote huwa na hisia za 
haraka sana hasa ukimjulia,lakini baadhi ya 
wanawake huwa wanashindwa kuzijua 
haraka mbinu za kumpandisha mzuka 
mumewe hata kama amechoka au ana 
hasira kwa siku hiyo...Ndugu yangu uchawi 
rahisi kwa mumeo ni kumvalia nguo 
nyepesi na yenye kuonyesha maumbile 
yako kamili,hii inaweza kuwa gauni nyepesi 
inayoonyesha maumbile yako 
ama siku hizi kuna mitandio milaini ambayo 
pia unaweza kuivaa pindi unapokuwa na 
mwenzi wako,ikumbukwe pia wanaume 
wengi hupatwa na tatizo la ukosefu wa 
nguvu za kiume kwa kukosa hisia za 
kufanya tendo hilo lakini wanawake ni 
dawa nzuri ya tatizo hilo ikiwa ataweza 
kumuhamasisha mumewe kwa njia 
mbalimbali ikiwemo ya vazi ambalo 
litamfanya mzee asisimke

No comments:

Post a Comment