aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Monday, May 12, 2014

KUTOVAA NGUO ZA NDANI KWAMUUMBUA NAOMI CAMPBELL...

 
Mwanamitindo  wa  kimataifa  wa  Marekani, Naomi  Campbell  mwishoni  mwa  wiki  jana  alikumbwa  na  tukio  la  aibu  baada  ya tatizo  lake  la  kusahau  kuvaa  chupi  kumsababishia  tatizo  kubwa  wakati  akishuka  kwenye  gari  lake  na  kukumbana  na  camera  za  wapiga  picha  za  kidaku....! 

Kutokana  na  kutovaa  nguo  hiyo  ya  ndani, Naomi  wakati  akishuka  kwenye  gari  lake  hilo    alijikuta  nguo  zake  zikifunuka  na  kuacha  wazi  kabisa  nyeti  zake, na  wapiga  picha  hao  wakafanikiwa  kumpiga  picha  kadhaa  ambazo  zimesambaa  mtandaoni....

Wengi  wa  walioziona  picha  hizo  wameibua  mjadala  mtandaoni  kwa  kumtuhumu  mwanamitindo  huyo  kwa  kutojitunza  kwenye  nyeti  zake.

No comments:

Post a Comment