aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Friday, May 30, 2014

KHAA! MZUNGU DAR ADAIWA KUMLAZIMISHA HAUSIGELI AFANYE MAPENZI NA MBWA WAKE

KHAA! Katika hali ya kushangaza, dada wa kazi za nyumbani (hausigeli) mkazi wa Tabata  jijini Dar aliyetambulika kwa jina moja la Aneth, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kudai kuwa bosi wake ambaye ni Mzungu amemlazimisha kufanya mapenzi na mbwa wake. 
Mapolisi wakiwa wametinga nyumbani kwa mzungu na silaha. Kushoto ni hausigeli.
Mzungu huyo ambaye jina tunalihifadhi, alidaiwa kufanya tukio hilo la kinyama Mei 26, mwaka huu na inadaiwa Aneth alipomkatalia, alimtimua nyumbani hapo kwa kumtupia virago.
Chanzo makini kilidai kuwa, baada ya kutupiwa virago bila kupewa mshahara wake sambamba na kipigo, Aneth aliripoti tukio hilo katika Kituo Kidogo cha Polisi cha Tabata, Dar na muda mfupi polisi walifika nyumbani hapo lakini Mzungu huyo hakutoka ndani, akakataa kuzungumza chochote.
Taarifa zilidai kuwa, baada ya polisi kukutana na kizingiti hicho, walimpigia simu kiongozi wao ambaye aliwaamuru warudi kituoni wajipange upya.
Wananchi wakiwa wamezingira nyumbani kwa mzungu.
Akisimulia zaidi ishu hiyo, Aneth alisema polisi walipoondoka eneo hilo, umati uliochukizwa na kitendo hicho ulikusanyika nje ya nyumba ili kumdhibiti ‘mtasha’ huyo kwa lolote.
“Kuna jirani mmoja alipiga simu tena kituo cha polisi alipoona hali ya hewa imechafuka ndipo polisi wakafika kwa mara nyingine na difenda na kufanikiwa kuingia ndani kwa kutumia geti kubwa, walipofika walikuta milango imefungwa lakini ilisemekana aliruka ukuta na kutimkia kusikojulikana.
“Polisi waliniambia nimpigie simu ajisalimishe lakini nilipompigia alisema hayupo na kama tunamhitaji tukutane sehemu huku na yeye akiwa na polisi wake,” kilisema chanzo.
Mbwa wa mzungu waliotakiwa kufanya mapenzi na hausigeli.
Mmiliki wa nyumba hiyo anayeishi Kigamboni, Mr. Cris alipoulizwa kuhusiana na ishu hiyo, alikiri kupokea malalamiko na manyanyaso kutoka kwa Aneth.
Akisimulia zaidi maisha anayoishi na Mzungu huyo, Aneth alisema: “Alikuwa akinitafutia sababu za kunitimua kwani hivi karibuni kwa bahati mbaya nilipoteza ufunguo wa ndani, akanipiga mateke na kunisababishia maumivu makali mwilini kiasi cha kushindwa kutembea.
“Lakini lililoniuma zaidi ni hili la kunilazimisha eti nifanye mapenzi na mbwa wake, amekuwa akifanya hivyo mara kwa mara mimi nikaona siyo sawa na nilipokataa ndipo yakanikuta hayo.”
Aneth aliripoti matukio hayo katika Kituo Kidogo cha Polisi Tabata na kupewa fomu ya matibabu (PF-3) sambamba na kufunguliwa jalada la kesi namba TBT/RB/3132/2014/ SHAMBULIO na jalada la uchunguzi lenye namba TBT/IR/1829/2014/UCHUNGUZI. 

No comments:

Post a Comment