aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Tuesday, February 4, 2014

WEMA, KAJALA, AUNT WAFUNIKA TRIPLE A JIJINI ARUSHA

Kajala, Wema, Aunt na Zamaradi wakiwa katika pozi tofauti.
....Wakiwa pamoja na Mirror tayari kwa ajili ya kwenda kwenye Show, klabu ya  Triple A.
Wema Sepetu, Aunt Ezekiel na Kajala Masanja tayari kwa ajili ya kwenda ukumbini.
Kajala akipanda stejini.
Wema akipanda jukwaani huku akiacheza.
...Wakiwa katika picha ya pamoja.
...Wakicheza na Mirror.
Wema katika pozi.
Msanii Dyana Kimaro katika pozi.
Wema Sepetu pamoja na Meneja wake Martin Kadinda muda mfupi baada ya kuwasili jijini Arusha.
  

Wema Sepetu, Zamaradi na Martin Kadinda katika picha ya pozi.

Kajala Masanja na Aunt Ezekiel wakiwa wamepozi hotelini.

 MASTAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu, Aunt Ezekiel, Kajala Masanja pamoja na wasanii wa Bongo Fleva Chid Benz na Miraji Hussein ‘Mirror’ hivi karibuni  walitinga katika jiji la Arusha kwa ajili ya kumtambulisha msanii Mirror kwenye klabu ya Triple A.

No comments:

Post a Comment