aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Tuesday, February 11, 2014

Katibu UVCCM Kahama Aaambulia Kichapo cha Mbwa Mwizi kutoka kwa Wafuasi wa CHADEMA wakati akitoka kwenye kampeni za Udiwani

Katibu wa UVCCM, Kata ya Majengo,Sebastian Masonga (34) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) akiwa amelazwa katika wadi namba nane kwenye Hospitali ya Rufaa ya Bugando baada ya kupigwa na wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Chadema wakati akitoka kwenye kampeni za udiwani wa Kata ya Ubagwe wilayani Kahama. (Picha na Grace Chilongola).
????????

No comments:

Post a Comment