aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Wednesday, February 19, 2014

NOMA SANA:HIVI NDIVYO WAPENZI WANAVYOCHOCHEA WIMBI LA ONGEZEKO LA WAPIGA CHABO WAKATI WA MAJAMBOZI!

Nilikua nikijiuliza hivi inakuaje mtu anaamua kuchungulia dirishani na anafaidika nini kuwachungulia wapenzi wakufanya yao maarufu kama chabo.. baada ya kuumiza kichwa sana nikagundua kumbe ni mfumo wa miundombinu... nyumba nyingi za uswazi ni chumba kimojaa na dirisha unakuta nyavu zimeanza kuchoka . sasa chabo inakujaje unajua sasa... mfano siku moja nlipita uchochoro mmoja bhana ile nafika dirisha fulani hvi hzo keleele nilizokutana nazo... mmmh inatakamoyo sana kuvumilia usiangalie kulikoni maana kidirisha nachoo kinashawishi sana utupie jicho kidogo aisee... sasa unadhani hiyo nafasi aipate mtoto wa uswazi ataipoteza,,, ? ni chabo mwanzo mwisho... ukweli unakuja kwamba tusiwalaumu wapiga chabo mazingira tunawatengenezea wenyewe mbona... we unajua dirisha lako tia maji tia maji bado unajiachiiiiiiiia utadhani mnacheza mkanda wa $%$#^& bhana ...... basi tujiami sasa hakikisha kabla ya gemu unaweka mazingira mazuri ya usiri

No comments:

Post a Comment