aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Friday, December 13, 2013

NOMA:Picha tatu za Wema Sepetu akiwa ndani ya pozi la nusu uchi.




Wema Sepetu amejikuta  akijishushia  heshma  yake  baada ya kutupia  picha mtandaoni zikimuonesha akiwa amevaa mavazi yaliyoacha wazi baadhi ya sehemu nyeti za mwili wake  hasa  matiti, kitovu  na  kifua  kwa  ujumla.. 
 
Katika  picha  hizo  ambazo zinapatikana  instagram, Wema Sepetu anaonekana  akiwa amevaa kiblauzi chenye matundu kiasi cha kuifanya sidiria aliyovaa ionekane huku sehemu nyingine  kama  kitovu, tumbo  na  kifua  kwa   ujumla   zikiwa  wazi  pia.

No comments:

Post a Comment