aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Saturday, December 21, 2013

POMBE SIO CHAI JAMANI,ALEWA POMBE MPAKA KASAHAU NJIA YA KWENDA KWAKE,ABEBWA KWENYE MKOKOTENI,AIUBU SANA


 
Ni aibu sana mtu kunywa pombe mpaka kushindwa kujua kiwango chako cha kusema basi.Unalewaaa mpaka akili inagota njia ya kwenda kwako unaisahau,mbele huoni unaanguka mpaka kutembea unashindwa mwisho unabebwa kwa style hii kurudishwa kwako.
Kunywa kwa kiasi ili uweze kujimudu kwa style hii wahuni awachelewi kukufanyia vitu vya aibu.....mbayaaa(kwa sauti ya mchungaji Lwakatare)




No comments:

Post a Comment