aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Tuesday, December 17, 2013

MR. NICE APATA SHAVU LA KUFANYA FILAMU NCHNI DENMARK

Mr. Nice (kulia).
Mwanamuziki aliyevuma sana kipindi cha nyuma Mr. Nice amealikwa kufanya filamu mpya na kampuni ya VAD production iliyopo nchini Denmark inayomilikiwa na mtanzania anayeishi nchini humo Mr. Babingwa.Katika mwaliko huo Mr. Mr nice alipata nafasi ya kufanya mahojiano na mtangazaji wa Swahili talk radio ya nchini humo.
SOURCE:GPL

No comments:

Post a Comment