aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Monday, December 23, 2013

MWANAMKE MMOJA AMEFARIKI DUNIA BAADA YA KUFANYA MAPENZI NA MBWA...........SOMA HAPA


Mwanamke mwenye umri wa miaka 43 nchini Ireland amefariki dunia baada ya kufanya mapenzi na Mbwa.
Mwanamke huyo ambaye alikuwa ni mama wa watoto wa wanne, jina lake halijatajwa, lakini imefahamika kwamba alifahamiana na mwanaume mwenye umri wa miaka 57, Sean McDonnell kwenye mtandao wa Zoofili ambako walichati kuhusiana na kufanya mapenzi na mbwa na baadaye walikutana mwaka Oktoba 2008.

Wakati wanakutana, McDonnell alikuwa na mbwa huyo mwenye asili ya Ujerumani, na hatimaye mpango wao ukafanikiwa, Mbwa afanya mapenzi, a.k.a akamla uroda mama huyo.


Muda mfupi baada ya kukamilika kwa tendo hilo mwanamke huyo alianza kuumwa, akakimbizwa hospitali (sijui alisema anaumwa nini), akafariki dunia muda mfupi baadaye.


Inadaiwa kuwa, mwanamke huyo alifariki dunia kutokana na aleji aliyoipata kutokana na mbegu za kiume za mbwa kuingia kwenye mwili wake.


Ingawa polisi walithibitisha kuwa tendo hilo lilifanyika kwa ridhaa ya mwanamke huyo, Sean McDonnell, amekamatwa na kushitakiwa mahakamani akidaiwa kumlazimisha mwanamke huyo avunje amri ya sita na Mbwa!


Kama atapatikana na hatia, McDonnell huenda akahukumiwa kifungo cha maisha

No comments:

Post a Comment