aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Saturday, December 28, 2013

DAYNA AFUNGUKA JUU KUHUSISHWA NA UCHAFU UFUKWENI...ANGALIA PICHA ZAKE !



Mwana muziki wa Bongo freva toka mkoani    Morogoro mwana dada Dayna Nyange, amekanusha kuhusishwa na picha 
zilizomuonesha akifanya uchafu ufukweni akiwa na njemba nusu uchi.

  Dayna kupitia page yake ya facebook, ameweka wazi kwamba sivyo kama ilivyoandikwa na baadhi ya mitandao kwamba alfumwa badala yake ilikuwa ni sehemu ya location ya video yake ya wimbo mpya wa mimi na wewe



"Jamani izi ni moja ya Picha.... Tulipokuwa location tuna shoot wimbo wangu wa "Mimi Na wewe" Na sivyo kama ilivyo semekana. Na baadhi ya blogs kwamba nimefumwa beach nikijiachia sijui nini Na nani kha!

No comments:

Post a Comment