aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Wednesday, July 31, 2013

SERIKALI YA TANZANIA YASAINI MKATABA WA KUBADILISHANA WAFUNGWA NA NCHI YA THAILAND


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Pereira Silima(kulia) pamoja 

na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Thailand, Mhe. Sura Pong Tovichakehaikul (kushoto) wakisaini Mkataba wa kubadilishana Wafungwa
 kati ya Tanzania na Thailand.

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini, John Casmir Minja

(wa tatu kushoto) akiwa pamoja na Viongozi wengine Waandamizi wa
 Serikali ya Tanzania na Thailand wakishuhudia kusainiwa kwa Mkataba 
wa kubadilishana Wafungwa kati ya Serikali ya Tanzania na Thailand jana.
 Julai 30, 2013 Ikulu, Jijini Dar es SalaamKamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini, John Casmir 
Minja(kushoto) akiteta jambo na Naibu Waziri wa Nishati
 na Madini, Mhe.
 Stephen Masele walipokutana jana Julai 30, 2013 Ikulu, Jijini 
Dar es Salaam kushuhudia kusainiwa kwa Mkataba wa kubadilishana
 Wafungwa kati ya Serikali ya Tanzania na Thailand(Picha na Lucas
 Mboje wa Jeshi la Magereza).

No comments:

Post a Comment