aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Sunday, July 28, 2013

HUU NI UNYAMA

Hivi kumchoma mwizi unadhani ndiyo solution kwa kile ulichopoteza? Maandiko yanasema usihukumu maana na wewe utahukumiwa. Watu wengi wanajiingiza kwenye wizi si kwa kupenda ila kwa misukumo tu ya maisha, busara zaidi inaitajika kwa watu hawa.

No comments:

Post a Comment