The main purpose of this Blog is to share my knowledge with the world..You Are Warmly Welcomed
Contacts:husseinngenje@yahoo.com
+79264327067
Ads 468x60px
Sunday, July 28, 2013
Photos: Mkenya wa kwanza kucheza National Football League(NFL) nchini USA
Daniel Adongo aliyezaliwa tarehe 12 October 1989, jijini Nairobi Kenya, alikua ni mchezaji wa rugby na hivi sasa ameweka historia kwa kuwa ni Mkenya wa kwanza kusajiliwa kucheza katika mchezo wa American “Football” na timu ya Indianapolis Colts ya National Footbal League (NFL)
No comments:
Post a Comment