aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Wednesday, July 31, 2013

List ya waigizaji wa Hollywood na mastaa wengine maarufu duniani ambao asili yao ni Nigeria.




Nigeria-flagNigeria ni nchi ambayo inafanya vizuri kwenye 
\upande wa entertainment  Africa, lakini kuna 
wasanii maarufu ambao wanafanya vizuri kwenye
 burudani huko Ulaya na Marekani asili yao ni 
Nigeria. Hawa hapa ni mastaa saba ambao ni 
wanaigeria lakini wanafanya vizuri kwenye 
movie na muziki kwenye mabala ya 
Ulaya na Marekani.
2
JACOB TAIWO CRUZ – TAIWO CRUZ
Taiwo Cruz ni mwimbaji anayefanya kazi zake 

Ulaya hasa nchini Uingereza, huyu jamaa 
kazaliwa kwa baba mwenye asili ya 
\Nigeria kabisa na mama mwenye asili
 ya Brazil. Taiwo Cruz alianza kuimba 
akiwa na miaka 12 na katika career yake
 ya muziki ameweza kushinda tuzo
 kadhaa kama BRIT awards,ASCAP 
awards,American Music Awards,
Billiboards music awards na
 nyingine nyingi. Hata jina lake
 la Taiwo lina asili ya Kiyoruba na 
mara nyingi hupewa kwa mtoto wa 
kwanza kuzaliwa kama wamezaliwa mapacha.
6
LEMAR OBIKA  - LEMAR
Lemar alizaliwa Tottenham  kwa  baba na 

mama wanigeria kutoka Enungu kusini 
mwa Nigeria, Lemar anajulikana kwa
 kazi yake ya usanii kwa uimbaji mahiri
 wa RnB,mwandishi wa nyimbo na
 producer. Mashabiki wengi wa 
msanii huyu hasa wanaigeria, 
hawakufahamu kamaLemar ana asili ya Nigeria.
1
HUGO WEAVING
Actor aliye-act kama agent Smith kwenye  

movie ya Matrix ni mnigeria.Jama
a huyu alizaliwa 
UCH(Univeristy College Hospital in Ibadan). 
Hugo akiwa na miezi 12 wazazi wake
 walihama Nigeria na kuhamia nchi 
nyingine.Hivi sasa mnigeria huyu 
anafanya vizuri huko Hollywood.

3
RICHARD AYOADE
Ayoade  kazaliwa na baba mnigeria na mama

 mnorway.Richard ni comedian maarufu huko
 Ulaya na mwaka jana alipata nafasi ya 
kuigiza kwenye movie ya Hollywood 
inayoitwa The Watch.Jina lake la mwisho 
Ayoade ni jina maarufu sana kwenye 
kabila la Yoruba
4
DONALD FAISON
Muigizaji huyu ni maarufu sana huko

 Hollywood,amezaliwa na baba kutoka 
nigeria na mama mwenye asili ya kimarekani.
5
DYLAN KWEBANA MILLSY
Anaitwa Dizzle Rascal Dizzie

 (Dylan Kwebana Mills) ni moja ya 
marapper wanaopewa heshima sana 
huko Ulaya.  Dizzle  aliwahi kushinda 
tuzo ya BET Act  mwaka 2010 na pia 
alifanya perfomance kwenye sherehe za 
ufunguzi wa Olympics huko London.
7
TYLER OKNMA – TYLER THE CREATOR
Huyu jamaa ni maarufu kama 

“The Black Eminem”. Japokuwa 
anasema kwamba hajawahi kukutana
 na baba yake,Tyler ana asili ya Nigeria
 kwasababu baba yake alikuwa mnigeria
 wa Igbo. The Black Eminem ambaye 
ni kiongozi wa kundi la 
“Odd Future Wolf Kill Them All”, 
amewahi kutoa album kadhaa lakini 
“Bastard” ndiyo album yake maarufu
 yenye mistari ya utata kupita kiasi 
ndio maana akaitwa Black Eminem.

No comments:

Post a Comment