aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Wednesday, July 31, 2013

BONDIA MTANZANIA OMARI KIMWERI ALIVYO MGALAGAZA Thailand kwa KO


Bondia Mtanzania Omari Kimweri anaefanya shughuli zake Australia kulia akinyooshwa 

mkono juu kuashilia ushindi wake baada ya kumtwanga Ekkalak Saenchan wa Thailand 
kwa KO raundi ya kwanza PICHA NAwww.superdboxingcoach.blogspot.com



Bondia Mtanzania Omari Kimweri anaefanya shughuli zake Australia kulia 


akinyooshwa akimsukumia makonde mazito mfululizi bondia 
Ekkalak Saenchan wa 
Thailand na kufanikiwa kumtwanga kwa kwa KO raundi ya kwanza mwishoni 
mwa wiki iliyopita 


Bondia Mtanzania Omari Kimweri anaefanya shughuli zake Australia 

akimsikilizia mpinzani wake baada ya kumtwanga kumi nzito na 
kuhesabilwa wakati wa mpambano wake ata hivyo mpinzani wake 
akuendelea na kufanikiwa kupata ushindi wa K,O ya raundi ya kwanza.
picha kwa niaba ya Mtandao wa SUPER D

No comments:

Post a Comment