aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Tuesday, July 30, 2013

MAPACHA WANASWA LIVE WAKISAGANA,LAANA TUPU...!!



Ama kweli dunia imekaribia kwisha. Wasichana wawili kulwa na doto,toka nitoke waishi kinyumba kiasi cha kulivuruga tunda la mti wa katikati huku kulwa akijifanya mume na doto akijifanya mke.

Taarifa za kina zinasema walianza tabia hiyo mbaya katika hoteli moja ya kitalii iliyopo Bukoba mkoani Mara.

 kwa mujibu wa mtoa habari wetu ambaye alimwaga lundo la picha zinazoonyesha mapacha hao wa kike wakipeana burudani mwanana kitandani alisema kuwa kazi yao kubwa ni uhudumu wa hoteli na mara nyingi wamekuwa wakitimuliwa kutokana na kuoneana wivu pindi  mmoja anapopata bwana mwingine
"Awali ilikuwa haijulikani ni kwanini walikuwa wakigombana sana pindi mmoja anapopata mwanaume,baadae ikaja ikabumbuluka kwamba hawa wadada walikuwa wanajihusisha na mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja yaani usagaji. Kulwa ambaye ni mwembamba ndiye anamsaga doto ambaye ni mnene", Alisema mtoa habari wetu.

Alisema kuwa alifanikiwa kunasa picha za ushahidi kupitia kamera ya Kulwa ambapo kulikuwa na picha nyingi chafu zilizokuwa zikinyesha wanavyosasambuana na kusagana.
"Amini usiamini hawa ni ndugu damu,yaani toka nitoke lakini wanapokuwa juu ya sita kwa sita,unaweza kuamini ni mtu na mumewe. Ni balaa, kabila lao ni wahaya na wanaishi kwa kuhamahama pindi wanapohisi kushtukiwa", Alisema mtoa habari huyo.

No comments:

Post a Comment