aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Wednesday, July 31, 2013

DALADALA, BODABODA ZANGONGANA KAWE, JIJINI DAR ES SALAAM ASUBUHI YA LEO

Wapita njia wakishuhudia ajali  iliyotokea asubuhi hii maeneo ya Kawe karibu na viwanja  vya Tanganyika Packers, jijini Dar es Salaam,  kati ya mwendesha pikipiki na gari aina ya Toyota Hiace.  Hakuna  aliyeumia katika tukio hilo mbali na pikipiki kuharibika.
Pikipiki ilivyoharibiwa baada ya kupambana na gari hilo.

No comments:

Post a Comment