Taarifa za kusikitisha ni kwamba mkutano wa Dr.slaa wilayani Kasulu-Kigoma umevunjika baada ya vurugu kubwa kuibuka....
Kwa mujibu wa mtandao wa jamii forums ,Slaa anadaiwa kupigwa mawe na vijana wasiojulikana wakati akiwa Jukwaani....
Baada ya vurumai hilo, polisi walilazimika kupiga mabomu ya Machozi ili kutawanya watu ....
Bado haijulikani, Slaa ameumizwa kiasi gani lakini polisi waliwahi kumuokoa na kumtorosha kusikojulikana....
No comments:
Post a Comment