aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Saturday, July 27, 2013

VIDEO: Mtu mmoja auawa kwa risasi na majambazi mchana kweupe, Tegeta Dar


Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Shabani Mrutu kwa mujibu wa vitambulisho vyake na mtumishi wa idara nyeti serikalini ameuwawa kwa kupigwa risasi tatu kifuani na watu wanaosadikika kuwa majambazi na kufariki papo hapo katika eneo la Magereji Tegeta kibaoni jijini Dar es Salasam.

No comments:

Post a Comment