Mwanamke aliyenusurika kifo akitaka kujirusha kutoka ghorofa ya saba.
Askari wa Kikosi cha Zimamoto akimwokoa mwanamke huyo.
Askari alimuwahi mama huyo kabla hajajirusha na kumvutia pembeni. Tukio hilo limetokea jijini Tongren, nchini China juzi Jumatatu.
Video hapo juu inamwonyesha askari aliyekuwa amejifunga kamba kiunoni kwa ajili ya usalama akimwokoa mama huyo na kumpeleka sehemu salama kabla ya kukimbizwa hospitali kwa matibabu.
Angalia video chini
(Picha/Video: Youtube)
No comments:
Post a Comment