aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Thursday, August 29, 2013

SHILOLE ANATOKA NA MADEE AU OMMY DIMPOZ..?? TAZAMA PICHA ZENYE UTATA KUTOKA KWA SHILOLE

STAA wa Muziki wa Mduara, Zuwena Mohammed ‘Shilole’, amewashangaza wasanii wenzake baada ya kunaswa chobingo kwa nyakati tofauti akiwa na wasanii wenzake, Hamad Ally ‘Madee’ na Omari Faraj ‘Ommy Dimpoz’. 
Shilole akiwa na Madee.
Mpango mzima ‘uli-happen’ Agosti 25, mwaka huu ndani ya Ukumbi wa Singida Montel wakati wasanii hao walipokuwa katika shoo ya Serengeti Fiesta 2013 ‘Noma Sana’
Kwanza paparazi wetu alimfotoa Shilole picha kadhaa akiwa anafungwa zipu na Madee.



...Akiwa na Ommy Dimpoz.
Muda mchache baadaye, paparazi wetu alimfuma tena Shilole akiwa amekumbatiana na Ommy Dimpoz kwenye gari huku wakiwa wameangusha usingizi mzito hali iliyozua minong’ono ingawaje wawili hao walidai ni shangwe tu za Fiesta na hakuna uhusiano wa kimalovee kati yao.

Katika pozi na Madee.


SOURCE: GPL

No comments:

Post a Comment