aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Friday, August 30, 2013

CHUKUA MUDA WAKO KUTAZAMA PICHA 30 ZA RED CARPET ILIVYOKUA KATIKA UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA MSANII DIAMOND




Hamis Mwinjuna A.k.a Mwana F.A alikuwepo pia kushow Love....


Interiew zinahusika sana sehemu kama hizi....


Sauda wa Bongo Beats ya Star Tv nae akukosekana ndani ya nyumba.....
Chege Chigunda Toka TMK nae alikuwepo.....
Flowers awakosekanagi sehemu kama hizi.......
wakiongozwa na Number One Diva Hamisa
hassani Mobeto.







Mzee Muhidini Gurumo nae akukosekana
ndani ya Nyumba.....Furaha Ilioje kumuona
Nguli wa Muziki wa Dansi nchini akiudhuria
kwenye kitu chako,binafsi nimefurahi
sana uwepo wake ulizidi kuimarisha moyo wangu.

Prince Brother Man Dully Sykes akiwasili
ndani ya Nyumba pembeni na FloweR
Shadee toka Clouds Tv,presenter wa Cloud 9...



Shadee & Dully...Mmmmmh....??? Aya sina usemi
Kama kawaida......
Sarah A.k.a Shaa nae ndani 
Movement zikiendelea na mahojiano mbalimbali
kati ya wasanii na presenters wa vituo mbalimbali
vya Habari & Blogs kiujumla wakiwa kazini....






Mama yangu Mdogo yanii nikimaanisha Mdogo
 wake na mama yangu mzazi Bi Sandrah Sammy
Asha Baraka,Manager na Owner wa Twanga Pepeta nae alikuwepo...












Nikijibu maswali tofauti tofauti toka kwa waandishi wa Habari...



Jacquline Wolper toka Bongo Move nae akukosekana.....



Jacquline wolper & Qboy Msafii......



Kwenye Red Carpet nikiwa na Dada yangu,Rafiki yangu wa karibu
Penniel Mungiwa,Presenter wa DTV...
Thanks For Coming Buddy.....

The True Boy Is in the building....
Proffesor Jay a.k.a Father House nae alikuwepo
 kushow Love kwa mdogo wake.....






Hamis Mwinjuna A.k.a Mwana F.A alikuwepo pia kushow Love....

Interiew zinahusika sana sehemu kama hizi....

Sauda wa Bongo Beats ya Star Tv nae akukosekana ndani ya nyumba.....

Chege Chigunda Toka TMK nae alikuwepo.....

Flowers awakosekanagi sehemu kama hizi.......
wakiongozwa na Number One Diva Hamisa
hassani Mobeto.











Mzee Muhidini Gurumo nae akukosekana
ndani ya Nyumba.....Furaha Ilioje kumuona
Nguli wa Muziki wa Dansi nchini akiudhuria
kwenye kitu chako,binafsi nimefurahi
sana uwepo wake ulizidi kuimarisha moyo wangu.



Prince Brother Man Dully Sykes akiwasili
ndani ya Nyumba pembeni na FloweR
Shadee toka Clouds Tv,presenter wa Cloud 9...



Shadee & Dully...Mmmmmh....??? Aya sina usemi

Kama kawaida......

Sarah A.k.a Shaa nae ndani 

Movement zikiendelea na mahojiano mbalimbali
kati ya wasanii na presenters wa vituo mbalimbali
vya Habari & Blogs kiujumla wakiwa kazini....









Mama yangu Mdogo yanii nikimaanisha Mdogo
 wake na mama yangu mzazi Bi Sandrah Sammy
Asha Baraka,Manager na Owner wa Twanga Pepeta nae alikuwepo...









Nikijibu maswali tofauti tofauti toka kwa waandishi wa Habari...



Jacquline Wolper toka Bongo Move nae akukosekana.....



Jacquline wolper & Qboy Msafii......



Kwenye Red Carpet nikiwa na Dada yangu,Rafiki yangu wa karibu
Penniel Mungiwa,Presenter wa DTV...

Thanks For Coming Buddy.....



The True Boy Is in the building....

Proffesor Jay a.k.a Father House nae alikuwepo
 kushow Love kwa mdogo wake.....




source :uswazi

No comments:

Post a Comment