aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Saturday, August 31, 2013

USHAWAHI WASANII WA VICHEKESHO WAKIWA NDIYO WANAIGIZA??.. TAZAMA HAPA NYUMA YA PAZIA YA VITUKO SHOW



 ''Mustapha waziri west'' Cameraman waVITUKO SHOW
 Masai Nyotambofu ambaye pia ni director wa website yawww.masainyotambofu.com akiwa kwenye pozz kabla hajaa nza shooting yani hapo alikuwa ametoka kuvalia gwanda lake la kimasai kwa ajili ya kuaza mashambulizi mbele ya Camera.
 Hapo Masai Nyotambofu anatibua hakawii kucharuka!
 Masai Nyotambofu akifanya yake katika kipengele chake kama kawaida yake..


 Kushoto ni msanii mkongwe Mwita maranya akiwa na Masai Nyotambofuwakiwajibika mbele ya Camera.
''Yosso Komando'' Camera man waVITUKO SHOW



 Muonekano wa Camera wakati wa kazi
Source:MasaiNyotambofu.

No comments:

Post a Comment