aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Saturday, August 24, 2013

DEREVA WA ISUZU CARRY APEWA KICHAPO KUTOKA KWA ABIRIA BAADA YA KUSABABISHA AJALI

IMAG0310 
Dereve wa Isuzu Carry akiwa amepasuka eneo la kichwa baada ya abiria kumshushia kipigo, wakati ilipotokea ajali baina ya Basi la Abiria la ZAM ZAM linalofanya route ya Ruangwa – Dar es salaam na Isuzu Carry Eneo la Mnazi Mmoja Mjini Lindi
IMAG0309 
Abiria wakiwa wameshuka na Kuja Kumchomoa Dereva wa Isuzu carry Na kuanza kumpa kichapo Hadi pale Mpashaji wa Habari hii alipowaambia kuwa waache kumpiga la sivyo atawachukulia hatua za kisheria huku akionekana kuwapiga picha, hiyo ikawa nafuu kwa Dereva huyo kuacha kupokea 
kipigo 

IMAG0308 
Mmoja wa abiria wa Basi hilo akizozana na abira mwenzake 

katika eneo hilo la tukio. Basi hilo likitokea Dar es salaam

 Kuelekea Ruangwa leo hii na Limepata Ajali maeneo ya

 Mnazi Mmoja Lindi Mjini jirani na Mizani.


No comments:

Post a Comment