aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Saturday, August 24, 2013

Chadema yatumia kifo cha Mwangosi kama mtaji wa kisiasa – Umoja wa Wanahabari


Thumbnail for 11758
UMOJA wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini (UTPC), umekionya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) dhidi ya kutumia kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Wanahabari mkoani Iringa (IPC), Daudi Mwangosi kama mtaji wa kisiasa. Tayari Chadema wameiandikia barua klabu ya wanahabari Iringa (IPC), kutaka washiriki kujenga mnara wa kumbukumbu katika
..Read More 
http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/15620-chadema-yadaiwa-kumtumia-mwangosi-kisiasa

No comments:

Post a Comment