aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Thursday, June 5, 2014

ANGALIA PICHA: GARI YAGONGA MLANGO WA BENKI YA CRDB, MOROGORO

Gari limegonga mlango wa kioo wa kwenye Benki ya CRDB, mkoani Morogoro. Taarifa zinasema kuwa dereva huyo alishindwa alikuwa anataka kurudi nyuma kumbe alibonyeza sehemu ya kuendeshea ndo akaishia kuingia CRBD bila hodi. Picha na Taarifa News.
Gari limegonga mlango wa kioo wa Benki ya CRDB, mkoani Morogoro. 
Taarifa zinasema kuwa dereva huyo alikuwa anataka kurudi nyuma kumbe alibonyeza sehemu ya kuendeshea ndo akaishia kuingia CRBD . 

No comments:

Post a Comment