mapema leo kwenye semina ya FURSA kwa vijana iliyofanyika kwenye ukumbi wa
Pentecoste Ligula B,uliopo mkabala na Kituo cha Vijana Mtwara,kulia ni Meneja wa
NSSF mkoani Mtwara Bwa.Stanley Mullanzi na kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Vipindi
Clouds Media Group,Ruge Mutahaba pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Iramba (ambaye
pia ni mzaliwa wa Newala mkaoni Mtwara),Mh.Yahya Nawanda wakifuatilia kwa makini
mada mbalimbali zilizokuwa zikijadiliwa ukumbini humo.Semina hiyo inaratibiwa na
Clouds Media Group na kufadhiriwa na NSSF,Lake Oil,Zantel,MaxMalipo na
wengineo imewashirikisha wadau mbalimbali wa Mtwara na vitongoji vyake wakiwemo
wasanii wa
wengineo imewashirikisha wadau mbalimbali wa Mtwara na vitongoji vyake wakiwemo
wasanii wa
yaliyokuwa yakijiri kwenye semina ya Fursa kwa Vijana iliyofanyika mapema leo
ndani ya ukumbi wa Pentecoste Ligula B,uliopo mkabala na Kituo cha Vijana mkoani
Mh.Yahya Nawanda akizungumza na wakazi wa mji wa Mtwara waliojitokeza kwa wingi
kwenye semina ya Fursa kwa Vijana mapema leo,Mh.Yahya alizunguma mengi zikiwemo
fursa mbalimbali zinazopatikana ndani ya mkoa wa Mtwara na Singida namna ya
kuzifanyia
kazi katika suala zima la kujikwamua na maisha.
Mkurugenzi wa Vipindi Clouds Media Group,Ruge Mutahaba akihitimisha semina ya
Mkurugenzi wa Vipindi Clouds Media Group,Ruge Mutahaba akihitimisha semina ya
Fursa kwa Vijana mapema leo mchana,ndani ya ukumbi wa ukumbi wa Pentecoste
Ligula B,uliopo mkabala na Kituo cha Vijana Mtwara,kulia kwake ni Meneja Kiongozi,
Uhusiano NSSF Makao makuu jijini Dar,Eunice Chiume pamoja na Meneja wa NSSF
mkoani Mtwara Bwa.Stanley Mullanzi.Semina ya Fursa kwa vijana tayari
imekwishafanyika mikoa ya Tabora,Kigoma,Singida na sasa Mtwara.
Sehemu ya Meza kuu ikifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikijadiliwa kwenye semina
imekwishafanyika mikoa ya Tabora,Kigoma,Singida na sasa Mtwara.
Sehemu ya Meza kuu ikifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikijadiliwa kwenye semina
hiyo ya Fursa kwa vijana
Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Ommy Dimpo ambaye pia ni mwanachama wa NSSF,akizungumza fursa mbalimbali alizozipata ndani ya shirika hilo la NSSF,mbele ya
Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Ommy Dimpo ambaye pia ni mwanachama wa NSSF,akizungumza fursa mbalimbali alizozipata ndani ya shirika hilo la NSSF,mbele ya
wakati lukuki wa mji wa Mtwara waliojitokeza kushiriki semina hiyo,iliyokuwa na mafanikio makubwa.
Baadhi ya akina mama wakifuatilia kwa umakini yaliyokuwa yakijadiliwa kwenye semini hiyo
Baadhi ya Wakazi wa Mji wa Mtwara na vitongoji vyake wakiwa wamejitokeza kwa wingi mapema leo kwenye semina ya Fursa kwa vijana iliyofanyika kwenye ukumbi wa Pentecoste Ligula B,uliopo mkabala na Kituo cha Vijana mkoani Mtwara.Katika semini hiyo vijana wemejitokeza kwa wingi.
Msanii wa Kughani mashairi,Mrisho Mpoto akizungumza na Wana wa Mtwara
Baadhi ya akina mama wakifuatilia kwa umakini yaliyokuwa yakijadiliwa kwenye semini hiyo
Baadhi ya Wakazi wa Mji wa Mtwara na vitongoji vyake wakiwa wamejitokeza kwa wingi mapema leo kwenye semina ya Fursa kwa vijana iliyofanyika kwenye ukumbi wa Pentecoste Ligula B,uliopo mkabala na Kituo cha Vijana mkoani Mtwara.Katika semini hiyo vijana wemejitokeza kwa wingi.
Msanii wa Kughani mashairi,Mrisho Mpoto akizungumza na Wana wa Mtwara
kuhusiana na fursa mbalimbali zilizopo ndani ya mkoa huu,kwenye semina ya Fursa
kwa Vijana iliyofanyika leo mkoani humu.
Baadhi ya Waendesha Bodaboda walipata wasaa wa kuacha kazi zao na kushiriki
Baadhi ya Waendesha Bodaboda walipata wasaa wa kuacha kazi zao na kushiriki
semina ya Fursa kwa Vijana.
Baadhi ya vijana wakiwa nje wakifuatilia mijadala iliyokuwa ikiendelea ukumbini
Baadhi ya vijana wakiwa nje wakifuatilia mijadala iliyokuwa ikiendelea ukumbini
Picha na Michuzi Jr
No comments:
Post a Comment