aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Sunday, September 29, 2013

AWA KERO KWA WENYE MAGARI JIJINI DAR

Kijana huyu amekuwa kero kwa wakazi wa Dar es Salaam hususani waendesha magari kwa tabia yake ya kuyaparamia na kuanza kusafisha vioo pasipo ruhusu ya wamiliki. Kijana huyu huzunguka sehemu mbalimbali za jiji la Dar es Salaam na mara panapokuwa na foleni huvua shati lake chafuchafu na kuparamia vioo kisha kuanza kuvifuta. Hapa alinaswa na kamera yetu katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi eneo la Bamaga akipangusa vioo vya magari kwa shati lake pasipo kuambiwa kufanya hivyo. Mara amalizapo kazi hiyo hudai malipo kwa wenye gari ambao baadhi yao hulipa wakati wengine wakimsusia.

No comments:

Post a Comment