Mshindi wa Big Brother Africa 8 (BBA The Chase) mrembo kutoka Namibia Dillish Mattew amekutana na baba yake mzazi kwa mara ya kwanza tangu azaliwe wakati akisherehekea birthday ya kutimiza miaka 23.
Baba yake huyo, Abdi Guyo, kutoka Kenya alikutana na mama yake Dillish alipokuwa Namibia alipokuwa mmoja wa wanajeshi wa Kenya waliokwenda nchini Namibia kulinda amani. Alirudi Kenya baada ya muda wa kukaa Namibia kikazi kuisha na kumuacha mama yake Dillish mja mzito, na kupoteza naye mawasiliano miezi kadhaa baadaye.
Baba yake huyo, Abdi Guyo, kutoka Kenya alikutana na mama yake Dillish alipokuwa Namibia alipokuwa mmoja wa wanajeshi wa Kenya waliokwenda nchini Namibia kulinda amani. Alirudi Kenya baada ya muda wa kukaa Namibia kikazi kuisha na kumuacha mama yake Dillish mja mzito, na kupoteza naye mawasiliano miezi kadhaa baadaye.
No comments:
Post a Comment