aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Monday, September 16, 2013

JINAMIZI LA NGONO KWA WASANII....!! BABY MADAHA ANASWA LIVE NA MUME WA MTU.....!!


STAA wa sinema na Bongo Fleva, Baby Madaha amenaswa live akiingia na kula bata hotelini akiwa na mwanaume aliyetajwa kwa jina la Joe Kariuki. 

Tukio hilo lililopigwa chabo na shushushu wetu lilijiri wikiendi iliyopita, majira ya usiku mnene katika Hoteli ya De France iliyopo Sinza, Dar ambapo Madaha alionekana akiwa amejiachia vya kutosha kwa mwanaume huyo.


Ili kupata mzani wa habari hiyo, gazeti hili lilizungumza na Madaha ambaye alikiri kuwa na mwanaume huyo hotelini hapo huku akidai ni meneja wake.

“Joe (Kariuki) ni meneja wangu wa Kampuni ya Candy n’ Candy Records ya Nairobi, Kenya ndiye anayesimamia kazi zangu na tayari nimeachia ngoma moja inayo-hit ya Summer Holiday,” alijitetea Madaha.
Source:GPL

No comments:

Post a Comment