aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Tuesday, September 10, 2013

AJALI MBAYA: CHEKI PICHA HIZI ZA TUKIO LA MWENYEKITI WA SERIKALI YA MTAA WA SINZA E ALIVYOGONGWA NA PIKIPIKI YA BODABODA!!! YANI HOI HOI!






mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Sinza E amepata ajali ya kugongwa na bodaboda maeneo ya vatican karibu kabisa na kituo cha lion.





mwendesha bodaboda mwenye koti jeusi na pensi ndiye mmiliki wa pikipiki hiyo








Wananchi wakimpakia mwenyekiti huyo kwenye gari la Msamalia mwema tayari kwa kumpeleka hospitali ya palestina sinza.

No comments:

Post a Comment