aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Sunday, July 20, 2014

PICHA ZAIDI ZATISHA: URASA ALIYEMUUA MTOTO WA MIAKA 9 NA ‘KUTAFUNA UBONGO NA KUJIKATA KORODANI ZAKE HUKO MARANGU-MOSHI HIZI HAPA,..TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZI


picha na mwandishi wetu wa paparazi huru ted

Asubuhi ya July 18 kutoka Moshi zilitoka taarifa zamfanyakazi wa ndani wakiume [Houseboy] kumpasua kichwa mtoto mdogo wa darasa la 3 kisha ubongo wakekuamua kuutafuna na kumkata ume na kuutafuna pia na kisha kujikata koroda zake sehemu za siri  na kujichoma kisu kifuani..
HKHKbaada ya muda polisi walipigiwa simu na kufika eneo la tukio na kumfungu na kumpeleka kwenye hospitali ya kilema na kabla hajaanza kupata matibabu alifarika

No comments:

Post a Comment