Model anayefanya kazi nchini South Africa Ally Daxx na Wema Sepetu ndiyo
watakuwa majaji kwenye uchaguzi wa models ambao watatumika kwenye
maonyesho ya mavazi ya Ally Rhemtulah. Mbunifu Ally Rhemtulah anategemea
kufanya fashion show 31 mwezi huu ambayo imepewa jina la “Fashion Avenue”
na watu wataenda kwa mualiko maalum.
watakuwa majaji kwenye uchaguzi wa models ambao watatumika kwenye
maonyesho ya mavazi ya Ally Rhemtulah. Mbunifu Ally Rhemtulah anategemea
kufanya fashion show 31 mwezi huu ambayo imepewa jina la “Fashion Avenue”
na watu wataenda kwa mualiko maalum.
Tarehe 18/8 ndani ya Serena Hotel kuanzia saa sita mchana ndiyo kazi nzima ya
kuchagua hao models.Majaji wengine watakuwa Mariam Ndaba maarufu kama
Missie Popular na Alfred Minja.
kuchagua hao models.Majaji wengine watakuwa Mariam Ndaba maarufu kama
Missie Popular na Alfred Minja.
SOURCE:MILLARD AYO
No comments:
Post a Comment