Manchester United kwa hakika ndio klabu ambayo inashabikiwa zaidi kwenye soka ulimwenguni, lakini pia inawezekana ndio klabu inayochukiwa zaidi pia.
Hili linaweza kutihibitishwa na mtu mmoja aitwaye George Atkinson, ambaye alihakikisha kupitia mfuniko wa kaburi lake kwamba dunia inatambua namna anvyoichukia klabu bingwa ya England.
Bwana huyu alifariki dunia mnamo mwaka 2005 na tayari alishatoa kauli ya (Ni bora niwe chini ya hapa kuliko kuwepo Old Trafford) ambayo aliagiza iwekwe kwenye mfuniko wa kaburi ikitokea amefariki dunia. Atkinson inasemekana alikuwa ni shabiki wa Liverpool na hakuwa anaipenda United hata chembe.
Hili linaweza kutihibitishwa na mtu mmoja aitwaye George Atkinson, ambaye alihakikisha kupitia mfuniko wa kaburi lake kwamba dunia inatambua namna anvyoichukia klabu bingwa ya England.
Bwana huyu alifariki dunia mnamo mwaka 2005 na tayari alishatoa kauli ya (Ni bora niwe chini ya hapa kuliko kuwepo Old Trafford) ambayo aliagiza iwekwe kwenye mfuniko wa kaburi ikitokea amefariki dunia. Atkinson inasemekana alikuwa ni shabiki wa Liverpool na hakuwa anaipenda United hata chembe.
No comments:
Post a Comment