aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Sunday, August 4, 2013

MAJANGA!! AFUNGWA MIAKA 20 KWA KOSA LA KUMLAWITI MTOTO WA MIAKA 11...!!


Fundi viatu mwenye miaka 29, ambaye amemlawiti  mvulana mwenye umri wa miaka  11 huko  Shalom,Lashibi karibu na  Sakumono  akidai  kwamba yeye alifanya kitendo kile kutokana na umaskini.

Emmanuel Awuah alikiri na kutoa  maelezo alipokamatwa , lakini alikuwa na haraka ya kuomba msamaha kwa wazazi wa mwathirika  aliyemlawiti mara mbili kwa kutumia syle tofauti tofauti za ngono akiahidi  kumnunulia mwathirika  MP3 player  na kumtengenezea viatu.  Mahakama ya Tema inayoongozwa na Emmanuel Bart-plange Brew,haikupoteza muda wa kumsikiliza Awuah akiomba ahurumiwe na kumfunga jela miaka 20 na kazi  ngumu.
Kwa mujibu wa maelezo ya  Awuah, ilikuwa ghali kuchukua mwanamke siku hizi. Aidha, alikuwa fundi viatu wa  kawaida ambae hakuwa na uwezo wa kuhudumia  mwanamke, ndiyo maana alimlawiti mtoto huyo.  Wiki chache zilizopita, Awuah alikutana na mtoto huyo pembeni ya  mto  Klagon karibu na Lashibi ambapo waliogelea wote kisha wakawa marafiki,.Siku kadhaa baadae Awuah alimwona mtoto Yule anacheza mpira akamwomba amtembelee na kumwahidi kumtengenezea viatu.
July 27,2013 kwenye saa tisa hiv jioni Yule mtoto alienda  kumtembelea Awuah nyumbani kwake kuchukua viatu alivyomuahidi kuwa atamtengenezea, Ndio hapo alipomwambia amsindikize mtoni,na alikubali.Awuah na Yule mtoto walivua nguo ili waogelee,wakati wanaogelea Awuah akamwinamisha mtoto huyo na kumuingizia uume wake sehemu ya haja kubwa ambako alipata maumivu makali

Fundi viatu huyo aliyefanya kitendo hicho kisicho halali mtoni  alimrudisha mtoto huyo kwao majira ya  saa kumi na nusu hivi ambako alimlazimisha tena kulala na kumlawiti  tena. Kabla ya kumlawiti alimziba na nguo mdomoni  ili majirani wasisikie kilio chake  akikataa asimwingilie,then akapaka mafuta uume wake ili aweze kumwingilia kirahisi.
Baada tendo hilo, alimwahidi tena kumnunulia MP3 player na kuondoka. Inasemekana kuwa mtoto Yule alianza kutoa harufu mbaya na alikuwa na mkao ambao sio wa kawaida ambao mama yake aliuona. Mama wa mtoto huyo alimuuliza mwanae ambae alisimulia yote aliyofanyiwa na Awuah mbele ya shahidi. Mama alienda kutoa malalamiko polisi.
Fomu ya polisi kwa ajili ya matibabu ilitolewa kwa mwathirika kuhudhuria hospitali kwa uchunguzi na matibabu. Ripoti ya matibabu ilithibitisha tatizo lake. Awuah hatimaye alikamatwa. Alikiri kosa na alipelekwa  mbele ya Mahakama ya Tema  ambapo alihukumiwa kifungo cha miaka 20 na kazi ngumu.

No comments:

Post a Comment