aaaaa

Pages

Ads 468x60px

Sunday, August 18, 2013

SHANGWE ZA SERENGETI FIESTA 2013 NDANI YA KIGOMA...!!

 
 
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya Cassim Mganga akiimba jukwaani mbele ya maelfu ya wakazi wa Kigoma ndani ya uwanja wa Lake Tanganyika.
 
 Sehemu ya umati wa watu waliofurika ndani ya uwanja wa Lake Tanganyika usiku wa kuamkia leo.
 
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Neylee akiimba kwa hisia kwenye jukwaa la tamasha la Serengeti Fiesta 2013.
 
 Sehemu ya umati wa watu waliofurika kwenye uwanja wa Lake Tanganyika usiku wa kuamkia leo wakiburudika na wasanii wa Serengeti Fiesta 2013.
 
 Burudani ya kutosha kabisa.
 
Palikuwa hapatoshi ndani ya uwanja wa Lake Tanganyika.

 Mwanamuziki mahiri wa muziki wa Dansi, Christian Bella akikamua jukwaani.

 Msaniii anekuja kwa kasi kwenye miondoko ya Hip Hop, Stamina akikamua jukwaani usiku wa kuamkia leo mbele ya maelfu ya wakazi wa mji wa Kigoma waliojitokeza kwenye tamasha la Serengeti Fiesta.
 
 Ni shangwe tu ndani ya uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma.

 Yaani hapatoshi kabisa, wakazi wa Kigoma wamecharuka na burudani murua kabisa ya tamasha la Serengeti Fiesta 2013.
 
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Rachael kutoka THT, akionesha umahiri wake wa kutumbuiza jukwaani.

Washabiki wa tamasha la Fiesta wakifuatilia kwa makini burudani hizo.

Wadau nao walitokelezea.
 
Peter Msechu na madansa wake wakikamua vilivyo katika tamasha la Serengeti Fiesta 2013.
 
Pichani ni msanii wa Bongofleva, Shilole Mohamed na madansa wake wakiwachengua vilivyo wakazi wa Kigoma, waliojitokeza kwa wingiusiku wa kuamkia leo kwenye tamasha la Serengeti Fiesta ndani ya uwanja wa Lake Tanganyika.


F

No comments:

Post a Comment